Japo mechi ilitazamiwa kuwa na ushindani lakini ilionekana kuwa rahisi xana kwa upande wa mashujaa wa igunga (IGUNGA WORRIERS) baada ya kuwashushia kipigo kikali wapinzani wao mabao 7-0, mabao yaliyofungwa na MSWETI, MESS, SAIMON SHILE a.k.a ZOLA naye mshambuliaji mahiri wa anayelijua goli SALUMU BENSO BAJA ligunga magoli manne(4) katika mchezo wakati huo huo wamekosa magoli mengi wa wazi na kubaniwa baadhi ya penalt zahiri.
Akizungumza kocha IGUNGA WORRIERS bwana CHISANO amedai kulifanyia kazi suala la umaliziaji kwani ndilo limekua tatizo sugu katika timu yake kwani idara zote timu iko vizuri naye kocha wa MAKOMERO FC ameahidi kujipanga vizuri ili kufanya vizuri mechi ya mwisho iliyobaki dhidi ya MWANA AFRICA.
Ikiwa ni hatua ya makundi katika kikombe cha EID L HADJI CUP leo jioni mapema ATOMIC BOMU wataumana na vijana toka stoo yaani STOO FC
IGUNGA WORRIERS YAUA KAMA KAWAIDA YAO BILA HURUMA..GOLI 7-0
Reviewed by Unknown
on
7:10:00 AM
Rating:
No comments: